21 Feb, 2023 Pakua

Bodi  ya  Kahawa  Tanzania  (TCB)  inawatangazia  wadau  wote  wa  kahawa  kuwa itaendesha  mnada  wa  kwanza  wa  kahawa  Mkoani  Kagera  siku  ya  Jumanne  tarehe 07/06/2022 kuanzia saa 05:00 asubuhi.